

Bongo Na Flava wins best Sound
January 31, 2018
It was a big night for the crew and actors of the film Bongo na Flava when it won best film sound in the annual Zanzibar film festival, speaking at the festival, the producers thanked everyone who participated in making the project a reality. the team is already on the next film project so lets wait and see what they came up with, Congratulation team.!

TANZANIA: Rappa One The Incredible aja na movie ya ‘Bongo Na Flava’
January 31, 2018
Filamu mpya ‘BongoNaFlava’ ya rappa One The Incredible imeonyeshwa kwa mara ya kwanza katika ukumbi wa Goeth-Institut Upanga jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali. Filamu hiyo kuwakutanisha mastaa wa muziki kama Fid Q, Wakazi, Makamua, Lamar pamoja na washiriki wengine.
Kupitia ukurasa wa instagram, One aliandika: Firstviewing at Goeth e Institut – Upanga, this Thursday. Hii ndio mara yangu ya kwanza kama muigizaji… Karibu Goethe Institut – Upanga, alhamisi hii uione filamu ya #BongoNaFlava iliyotayarishwa chini ya usimamizi wa director nguli @rrahc itaoneshwa kwa mara ya kwanza. #Pichakubwa